Social Icons

Saturday, January 15, 2011

MASTAA WAPAMBA ONYESHO LA B-BAND THAI VILLAGE


Rais wa bendi ya B- Band Mzee Zahir Ally Zorro akiwa katika mapumziko mafupi jana usiku katika onyesho la bendi hiyo ambapo kila Ijumaa watakuwa wakikamua Thai Village, Masaki na kila siku ya Alhamisi watakuwa Sweet Easy Oysterbay na Jumapili burudani yao inapatikana katika ukumbi wa Cine Club Mikocheni kuanzia mchana ,ambapo watu wa rika tofauti hujumuika pamoja na familia zao bila kuwasau watoto ambapo watafurahia michezo ya bembea na michezo mbalimbali.
Msanii Khalid Mohammed TID nayeye alikuwepo kumpa sapoti Banana usiku wa jana.
Huu ni usafiri wa Galacha Mafumu Bilali Bombenga ambaye anaokekana katika picha chini naye alikuwepo katika onyesho hilo. Siku zote nilikuwa naiwinda hii pikipiki nii pige picha hatimaye jana nikafanikiwa nilipoikuta katika maegesho nje ya ukumbi kinacho nivutia mimi ni jinsi alivyo ipamba sana jambo linaloutofautisha na pikipiki za watu wengine.
Leah Moudy zao la Bongo Star Seach akiwajibika jukwaani.

No comments:

 
 
Blogger Templates