Gongoro amesema kuwa amepata hamasa ya kuwania nafasi hiyo kwa lengo la kuwatumikia wazawa wa Jimbo hilo.
Kutoka kushoto ni Hassan Kapilima (Katibu wa Stoma Care) Gongoro na Hussein Waziri (Mweka Hazina Stoma Care).
Ilala Yajipanga Kuwa Kinara wa Miji ya Kijani
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MKUU wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amewataka wakazi wa
wilaya hiyo kuonyesha uzalendo wa kweli kwa ...
2 hours ago


0 Comments