Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres na Rais wa Hispania Mhe. Pedro Sánchez wakati akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Fibes Jijini Sevilla kushiriki Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika nchini Hispania leo tarehe 30 Juni 2025.
WANANCHI MBULU WAPATA MAJI YA BOMBA KUPITIA MRADI WA BILIONI 41
-
*Wananchi na wakazi wa Hydom wilayani Mbulu mkoa wa Manyara wamemshukuru
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
kufuatia Wi...
8 hours ago


0 Comments