Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres na Rais wa Hispania Mhe. Pedro Sánchez wakati akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Fibes Jijini Sevilla kushiriki Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika nchini Hispania leo tarehe 30 Juni 2025.
POLISI PWANI YAJIVUNIA MAFANIKIO YA OPERESHENI NA MISAKO
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia
Septemba hadi Novemba 2025 ambapo wamefanya misako ya kuzuia na
kutanzua ...
7 hours ago


0 Comments