Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres na Rais wa Hispania Mhe. Pedro Sánchez wakati akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Fibes Jijini Sevilla kushiriki Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika nchini Hispania leo tarehe 30 Juni 2025.
TAEC YASISITIZA UTAMADUNI WA USALAMA KAZINI
-
Wataalamu kutoka Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) wamehitimisha
mafunzo maalum ya ulinzi na usalama dhidi ya mionzi kwa wafanyakazi wa
Maweni Lim...
58 minutes ago


0 Comments