Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres na Rais wa Hispania Mhe. Pedro Sánchez wakati akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Fibes Jijini Sevilla kushiriki Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika nchini Hispania leo tarehe 30 Juni 2025.
TANROADS Yatoa Mwongozo wa Vibali vya Mabango Barabarani, Yatahadharisha
Dhidi ya Matapeli.
-
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imetoa utaratibu rasmi wa uombaji wa
vibali vya kusimika mabango kando ya barabara, ikiwa ni hatua ya
kukabiliana ...
1 hour ago


0 Comments