Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres na Rais wa Hispania Mhe. Pedro Sánchez wakati akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Fibes Jijini Sevilla kushiriki Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika nchini Hispania leo tarehe 30 Juni 2025.
WAKAZI WA MAJENGO NA AMANI MBEZI KWA MSUGULI WAILALAMIKIA DAWASA KWA KUKOSA
HUDUMA YA MAJI KWA MUDA MREFU
-
*Wakazi wa Majengo na Amani Mbezi kwa Msuguli wakiwa wamepanga foleni
kuchota maji kwa mmoja ya mwananchi wa mtaa wa pili.*
*Dar es Salaam Januari 6, 2025:...
4 hours ago


0 Comments