TANZANIA YAPATA TUZO NNE ZA UTALII


Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Pindi Chana amepokea Tuzo nne za Utalii ambazo Tanzania imeshinda kupitia World Travel Awards-Africa Gala zilizofanyika Mombasa, Kenya mwishoni mwa wiki.
Hafla hiyo imefanyika ofisi za Wizara ya Maliasili na Utalii, Mtumba, Dodoma leo Oktoba 22, 2024 zikishuhudiwa viongozi na watendaji wengine wa wizara, taasisi na wadau

Post a Comment

0 Comments