RC KUNENGE AMUAPISHA DC RUFIJI LUTENI KANALI KOMBA

Luteni Kanali  Faustine Komba  akila kiapo cha ku2q Mkuu wa Wilaya ya Rufiji  mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge  leo 05,Septemba 2024  baada ya uteuzi  uliofanywa  na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan hivi karibuni ,hafla hiyo  imefanyika  katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Pwani.
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Luteni Kanali Faustine Komba akila kiapo leo 05,Septemba,2024.
Kutoka Kulia ni Mkuu wa Kikosi cha 832 KJ Ruvu Kanali Peter Elius Mnyani  anayefuata ni Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Christopher Myava. 

Post a Comment

0 Comments