Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) wa fedha 2023/2024, kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPRA, Dkt. Leonada Mwagike, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, 28 Septemba, 2024, walioketi kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban (anayesimamia Fedha za Umma), Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha (Huduma za Hazina), Bi. Jenifa Christian Omolo, na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa PPRA, Bw. Dennis Simba na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPRA Dkt. Leonada Mwagike.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akipokea Taarifa ya Tathmini ya Utendaji Kazi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), kwa mwaka wa fedha 2023/2024, kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPRA, Dkt. Leonada Mwagike, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, 28 Septemba, 2024. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Dennis Simba.
Timu ya Yanga Yatinga Fainali Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 Kwa
Kuifunga Timu ya Azam Bao 1-0, Mchezom Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar
-
Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku beki wa Timu ya Yanga
akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa nusu fainali ya michuano ya NMB
Mapinduzi Cup ...
2 hours ago


0 Comments