Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene na akiwa akitoa cheti cha ushiriki wa Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE kwa Bw. John Mboya katika Hoteli ya Lushgarden jijini Arusha.
Baadhi ya Washiriki wakifuatilia hatuba ya ufungaji wa Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (Hayupo pichani) katika Hoteli ya Lushgarden Jijini Arusha.
WANAOPINGA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA WALIKUWA WAKIWANYONYA WAKULIMA –
LONDO
-
Serikali imesema bado kuna watu wanaopinga mfumo wa stakabadhi za ghala kwa
sababu zamani walikuwa wakinufaika kwa kuwanyonya wakulima kupitia biashara
y...
1 hour ago


0 Comments