Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene na akiwa akitoa cheti cha ushiriki wa Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE kwa Bw. John Mboya katika Hoteli ya Lushgarden jijini Arusha.
Baadhi ya Washiriki wakifuatilia hatuba ya ufungaji wa Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (Hayupo pichani) katika Hoteli ya Lushgarden Jijini Arusha.
Timu ya Yanga Yatinga Fainali Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 Kwa
Kuifunga Timu ya Azam Bao 1-0, Mchezom Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar
-
Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku beki wa Timu ya Yanga
akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa nusu fainali ya michuano ya NMB
Mapinduzi Cup ...
3 hours ago


0 Comments