Napenda kumshukuru Mungu kwa kunifikisha leo Aprili 10 siku yangu ya kuzaliwa... Hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Pia napenda kuishukukuru familia yangu, ndugu jamaa na marafiki kwa kuwa pamoja nami mpaka leo. Asanteni sana.
Kuimarisha Sekta ya Afya kwa Kuhakikisha Mahitaji ya Msingi ya Afya
Yanaendana na Mpango Kazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO)
-
Na.Omar Abdallah -Wizara ya Afya Zanzibar.
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Wizara ya Afya Zanzibar imeendelea
kutoa vipaumbele katika kuimarisha ...
7 hours ago

0 Comments