Napenda kumshukuru Mungu kwa kunifikisha leo Aprili 10 siku yangu ya kuzaliwa... Hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Pia napenda kuishukukuru familia yangu, ndugu jamaa na marafiki kwa kuwa pamoja nami mpaka leo. Asanteni sana.
WADAU TIBA ASILI,AFYA NA MAZINGIRA WASHAURIWA KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Na Mwandishi Wetu
WADAU wote wa Tiba Asili, Afya na Mazingira nchini Tanzania wameshauriwa
kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali, mashirika na jamii k...
6 hours ago

0 Comments