Napenda kumshukuru Mungu kwa kunifikisha leo Aprili 10 siku yangu ya kuzaliwa... Hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Pia napenda kuishukukuru familia yangu, ndugu jamaa na marafiki kwa kuwa pamoja nami mpaka leo. Asanteni sana.
NEMC YATOA ELIMU YA MAZINGIRA KWENYE KONGAMANO LA ANWANI ZA MAKAZI
-
-Yatoa Elimu ya Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa elimu
ya mazingira kwenye Kongamano...
2 hours ago

0 Comments