TUNAWATAKIA nawatakia Sikukuu njema ya Eid El Fitri,
wadau wote wa mitandao hiyo. Tusherehekee kwa amani na utulivu na
kufanya mema yote yaliyoamrishwa na Mwenyezi Mungu na kuendelea kuyakataa
yale yote yaliyokatazwa, Inshaallah. Na pia tuuenzi mwezi huu kama
mwalimu mzuri kwa kuendelea kutenda mema na kuyaacha yote tuliyoyaacha
ndani ya huu mtukufu wa Ramadhan na Leo ni Mwezi Mosi Shawwal 1434,
Sikukuu iliyotukuka kwa Waumin wote wa Kiislam. MUNGU ATUJAALIE KUYAACHA
MABAYA YOTE TULIYOYAACHA KIPINDI CHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN, NA
ATUONGOZE KUENDELEA NA MEMA, AMINA INSHAALLAH
Standard Chartered Tanzania Yatoa USD 11,500 Kuendeleza Ukuaji wa
Ujasiriamali
-
Standard Chartered Tanzania imeongeza dhamira yake ya kuunga mkono ubunifu
wa ndani na uwezeshaji wa kiuchumi kwa kutangaza mchango wa USD 11,500 kwa
Cha...
2 hours ago

0 Comments