| Baadhi ya vijana wanaofanya shughuli zao kando kando ya barabara ya Uhuru Dar es salaam eneo la Malapa wakicheza mchezo wa bao mchezo huo uliopata umaarufu mkubwa miaka ya nyuma ulikuwa ukuchezwa na wazee pekee rakini kwa sasa vijana wamekuwa wakiufatilia na kuucheza kwa ustad mkubwa kushoto ni Jagani Ndizi na Omari Kijungujiko PICHA NA BLOG YA SUPER D |
Revolutionary Day 2026: A New Era of Exploration and Discovery
-
The wait is over. Today, we celebrate Revolutionary Day 2026—a call to
every traveler who seeks more than just a photograph.
Tanzania is not a des...
33 minutes ago
0 Comments