MSANII Snura ametoa wimbo wake mpya
unaokwenda kwa jina la ‘Nimevurugwa’.Wimbo huo utakuwa ni wa pili ambapo awali
aliachia wimbo wa ‘Majanga’ ambao bado
unafanya vema katika tasnia ya muziki katika matamasha mbalimbali na hafla anazoalikwa.
Wimbo huo ambao ameupiga katika miondoko ya
mduara umetambulishwa jana katika vituo mbalimbali vya redio.
Baadhi ya wadau wa muziki waliopata fursa ya kuusikiliza wameupa sifa wimbo
huo ambao unazungumzia mambo kadha wa kadha
katika jamii, elimu na maisha kwa ujumla.
Awali msanii huyo ambaye nyota yake ilianza kung’ara katika uchezaji wa filamu lakini baadaye aligeukia muziki.
MSANII MKONGWE MZEE KAMBI AFARIKI DUNIA
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Tasnia ya filamu nchini imepata pigo kufuatia kifo cha msanii mkongwe,
Mzee Kambi, kilichotokea leo Aprili 27, 2026.*
*Taarifa za k...
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
-
*Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika pamoja katika siku ya msiba wa
mpendwa wetu Hassan Ng'anzo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori mapema siku ya
Ijumaa M...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments