Wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni, wakifanya usafi leo katika taa za kuongozea magari Ubungo, ikiwa ni maandalizi ya ujio wa Rais wa Marekani, Barrack Obama anayetarajia kuwasili leo nchini kwa ziara ya siku mbili, ambapo pia atatembelea mitambo ya umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Waziri Masauni azindua Kamati ya Kitaifa ya Ushauri kuhusu Biashara ya
Kaboni
-
Mwandishi Wetu, Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.
Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amezindua Kamati ya Kitaifa ya Ush...
30 minutes ago
0 Comments