Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
WAZIRI MKUU ASHIRIKI TAMASHA LA MTOKO WA PASAKA, ASISITIZA AMANI
-
-Atoa pole kwa wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) waliopata
ajali ya moto
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Aprili 5, 2026, ameshiriki...
16 minutes ago
0 Comments