Msanii
Salum Hamisi wa Kikundi cha Safi Culture Group akicheza kusimama na
mkono mmoja katika tamasha la wasanii chipukizi jana Dar es Salaam.
MHANDISI SEFF AKAGUA UJENZI WA BARABARA ZA UWANJA WA AFCON ARUSHA
-
-Ataka kazi zikamilike ifikapo Mei 2027.
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi
Victor Seff amefanya ziara ya kukagu...
35 minutes ago
0 Comments