Mshambuliaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mbwana Samatta, akiambaa na mpira
kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo
wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa
kwenye Uwanja huo.
Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Shaaban Nditi, akiambaa na mpira
kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo
wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa
kwenye Uwanja huo.
Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Frank Domayo, akiteleza na mpira
kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo
wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa
kwenye Uwanja huo.
Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Salum Abubakar, akiondoka na mpira
kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo
wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa
kwenye Uwanja huo.
TUFANIKISHE PAMOJA YAWAKUMBUKA WATOTO YATIMA TEMEKE
-
Kikundi cha Kijamii cha TUFANIKISHE PAMOJA kimeungana na Uongozi wa Kituo
Cha Kulelea Watoto yatima na wenye uhitaji cha Valentine Home Centre
kilichopo...
The Sophisticated Wilderness Loop
-
THE ULTIMATE ITINERARY
*DAY 1 | THE ELEPHANT EMPIRE* *Arusha → Tarangire National Park* Witness
massive elephant herds and ancient Baobabs.
*Sta...
TANI 9 ZA DAWA ZA KULEVYA ZAKAMATWA NCHINI TANZANIA
-
*TANI 9 ZA DAWA ZA KULEVYA ZAKAMATWA NCHINI TANZANIA, BASI LA KING MASAI
LANASWA*
**Raia wa Kenya akamatwa akitumia biashara ya chai kuficha uuzaji wa d...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments