Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi bajaji mpya mlemavu wa miguu
ambaye ni mfanyakazi wa TANROADS Bi.Sarah Nalingigwa Nkumbo.
Makabidhiano hayo yalifanyika Ikulu mjini Dodoma leo asubuhi. Kulia ni
Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli.Wapili kushoto ni mke wa Rais Mama
Salma Kikwete na kushoto ni mkurugenzi Mkuu wa TANROADS Injinia Patrick
Mfugale. Bi. Sarah ambaye ni Mfanyakazi wa TANROADS mkoani Singida
alikabidhiwa Bajaji hiyo ikiwa ni ahadi ya Rais alipokuwa akifungua
Barabara ya Manyoni- Itigi Picha na Freddy Maro
WATUMISHI WA UMMA WASISITIZWA NIDHAMU NA UADILIFU KATIKA KAZI
-
*Watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wakiwa katika picha ya
pamoja mara baada ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
‘Mei ...
8 hours ago
0 Comments