Mh Waziri mkuu Mizengo
Pinda akiwasalimia majirani zake na kuwatakia heri ya mwaka 2013
kijijini kwao kibaoni katavi pichani anaonekana akiwa ana wasalimu mzee
Bernard Malyatabu Mayala (88) akiwa na mkewe bibi Bernadetha Kabandime Msuluba
(79) mh waziri mkuu yupo kijijini kwao kibaoni kwa mapumziko ya krismasi na
mwaka mpya. (Picha na Chris Mfinanga)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiuliza bei ya nyama ya mbuzi akiwa katika kijiji cha Kibaoni.
The Armored Giant: Tracking the Rare Black Rhino
-
In the vast expanse of the Tanzanian savannah, one silhouette commands a
different kind of respect. The Black Rhino. Seeing one isn't just a
"s...
2 hours ago
0 Comments