Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Padri Ambros Mkenda wa Kanisa
Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya
mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam
leo Jumamosi Dsemba 29, 2012 kufuatia kupigwa risasi sehemu za mdomoni
na watu wasiojulikana mapema wiki hii wakati akisubiri kufunguliwa geti
la nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar akiwa ndani ya gari
aliyokuwa akiendesha akiwa pekee yake. Rais Kikwete amempa Padri Mkenda
pole nyingi na kumuombea apate nafuu haraka.
Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya
mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam
leo Jumamosi Dsemba 29, 2012 kukupigwa risasi sehemu za mdomoni na watu
wasiojulikana mapema wiki hii wakati akisubiri kufunguliwa geti la
nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar akiwa ndaRais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Padri Ambros Mkenda wa Kanisa ni ya gari
aliyokuwa akiendesha akiwa pekee yake. Rais Kikwete amempa Padri Mkenda
pole nyingi na kumuombea apate nafuu haraka
JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WAGONJWA WA UKOMA
-
Na WAF, Dodoma
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana
potofu ya kuficha wagonjwa wa Ukoma na kujitokeza wanapobaini viash...
JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WAGONJWA WA UKOMA
-
Na WAF, Dodoma
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana
potofu ya kuficha wagonjwa wa Ukoma na kujitokeza wanapobaini viash...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments