 |
Bondia
Mohamed Hemedi 'Kadogo Ninja' kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana
makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi
yanayoendelea katika Kambi ya Ilala Dar Es salaam Class anajiandaa na
mpambano wake na Said Mundi utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA
Sabasaba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
|
|
 |
| Bondia Mohamed Hemedi 'Kadogo Ninja' kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika Kambi ya Ilala Dar Es salaam Class anajiandaa na mpambano wake na Said Mundi utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
bondia
Ibrahimu Class 'King Class mawe' akioneshana ufundi wa kutupiana
masumbwi na Mohamed Hemedi 'Kadogo Ninja' wakati wa mazoezi yao
yanayoendelea Katika Kambi ya Ilala Dar es salaam Class anajiandaa na
mpambano wake na Said Mundi wa Tanga utakaofanyika Desemba 9 katika
ukumbi wa PTA Sabasaba picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
0 Comments