| Bondia Mohamed Hemedi 'Kadogo Ninja' kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika Kambi ya Ilala Dar Es salaam Class anajiandaa na mpambano wake na Said Mundi utakaofanyika Desemba 9 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
Benki ya Exim Tanzania na Toyota Washirikiana Kurahisisha Upatikanaji wa
Magari kwa Watanzania
-
Benki ya Exim Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Toyota
wenye lengo la kufanya umiliki wa magari kuwa rahisi zaidi na nafuu kwa
Watanz...
15 hours ago

0 Comments