Familia ya marehemu Mzee Abdallah Mohammed (Macheche), wanapenda kutoa shukrani za dhati kwa mchango wenu mkubwa mlio uonesha wakati wa mazishi na shughuli nzima za kumpumzisha mtoto wao mpendwa Mohammed Abdalla (Bacheche) .Tunapenda kuwaarifu kwenye shughuli ya arobaini ya mtoto wetu itakayofanyika nyumbani kwao kwa marehemu Mzee Abdallah Mohammed (Macheche) Makumbusho /Kijitonyama karibu na shule ya msingi Makumbusho May 26, kuanzia saa mchana baada ya sala ya adhuhuri.
DKT AKWILAPO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA SHELTER AFRIQUE
-
Na Munir Shemweta, WANMM Nairobi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt Leonard Akwilapo,
amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mk...
51 minutes ago

0 Comments