Familia ya marehemu Mzee Abdallah Mohammed (Macheche), wanapenda kutoa shukrani za dhati kwa mchango wenu mkubwa mlio uonesha wakati wa mazishi na shughuli nzima za kumpumzisha mtoto wao mpendwa Mohammed Abdalla (Bacheche) .Tunapenda kuwaarifu kwenye shughuli ya arobaini ya mtoto wetu itakayofanyika nyumbani kwao kwa marehemu Mzee Abdallah Mohammed (Macheche) Makumbusho /Kijitonyama karibu na shule ya msingi Makumbusho May 26, kuanzia saa mchana baada ya sala ya adhuhuri.
IAEA yajionea mageuzi ya utoaji huduma katika Taasisi ya Ocean Road
-
Mkurugenzi Mkuu wa Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Najat Kassim
Mohammed akizungumza kuhusiana na ujio wa IAEA katika Taasisi ya Ocean Road
kuanga...
2 hours ago

0 Comments