Mshindi wa Taji la Redds Miss Ustawi wa Jamii Hilda Edward katikakati akipunga mikono baada ya kufanikiwa kutunukiwa taji hilo huku washindi wengine Nancy Wiliam na Ndenisia Mbowe kwenye fainali zilizofanyika kwenye ukumbi wa Maisha Club Jijini Dar Es Salaam.
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Jijini Dar es Salaam mara baada
ya kuhitimisha Ziara yake ya Kikazi, Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
-
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC)
Dubai, ...
30 minutes ago
0 Comments