Mshindi wa Taji la Redds Miss Ustawi wa Jamii Hilda Edward katikakati akipunga mikono baada ya kufanikiwa kutunukiwa taji hilo huku washindi wengine Nancy Wiliam na Ndenisia Mbowe kwenye fainali zilizofanyika kwenye ukumbi wa Maisha Club Jijini Dar Es Salaam.
BAGAMOYO SUGAR MABINGWA MKOA WA PWANI
-
Timu ya Bagamoyo Sugar ya Bagamoyo wametwaa Ubingwa wa Mkoa wa Pwani RCL
kwa 3-2 dhidi ya timu ya Kiduli yenye maskani yake Wilaya ya Kibaha.
Akizun...
4 hours ago
0 Comments