Mshindi wa Taji la Redds Miss Ustawi wa Jamii Hilda Edward katikakati akipunga mikono baada ya kufanikiwa kutunukiwa taji hilo huku washindi wengine Nancy Wiliam na Ndenisia Mbowe kwenye fainali zilizofanyika kwenye ukumbi wa Maisha Club Jijini Dar Es Salaam.
Dkt. Stellah Mpagama Aing’ara Kimataifa: Tanzania Yajipambanua Katika
Utafiti wa Afya Duniani
-
Katika hatua inayoendelea kuipa heshima Tanzania kwenye ramani ya sayansi
na afya duniani, Dkt. Stellah Mpagama ametajwa miongoni mwa viongozi wa
afya du...
3 hours ago
0 Comments