Baadhi ya wadau wa Michezo na burudani , mara baada ya kutoka katika mechi ya Yanga na Zamalek waliotoka ngoma droo yaani 1.1 tukajitupia katika viwanja vya TCC Changombe ambapo bendi ya Msondo Ngoma walikuwa katika Bonanza lao ambalo hufanyika kila siku za Jumamosi.Pichani ni waandishi wa habari wakiburudika na burudani zilizokua zikitolewa na bendi ya msondo ngoma baba ya muzikikutoka kushoto ni Victor Makinda,Khadija Kalili na Juma Kasesa.(Picha na www.burudan.blogspot.com)
Win&Go Yarudi na Njia Mpya ya Kuburudisha Wachezaji Wake
-
UMEWAHI kuweka tiketi ya Win&Go na kushindwa kupata namba yoyote? Sasa
Meridianbet wanakuleta suluhisho la kupendeza zaidi, mpango mpya wa Lucky
Loser...
22 minutes ago
0 Comments