Social Icons

Saturday, February 18, 2012

MSONDO NGOMA YAENDELEA NA BURUDANI KAMA KAWAIDA VIWANJA VYA SIGARA

Waimbaji wa bendi ya Msondo ngoma ambao ni Vijana wa Kazi mwanzo mwisho wakitoa burudani wakati wa bonanza lao linalokuwepo kila jumamosi katika viwanja vya sigara kutoka kushoto ni Hassan Moshi, Eddo Sanga na Juma Katundu.(Picha na www.burudan.blogspot.com

Baadhi ya wadau wa Michezo na burudani , mara baada ya kutoka katika mechi ya Yanga na Zamalek waliotoka ngoma droo yaani 1.1 tukajitupia katika viwanja vya TCC Changombe ambapo bendi ya  Msondo Ngoma walikuwa katika Bonanza lao ambalo hufanyika kila siku za  Jumamosi.Pichani ni  waandishi wa habari wakiburudika na burudani zilizokua zikitolewa na bendi ya msondo ngoma baba ya muzikikutoka kushoto ni Victor Makinda,Khadija Kalili na Juma Kasesa.(Picha na www.burudan.blogspot.com)
Msanii wa bendi hiyo Romani Mngande akiimba
Mpiga Drams wa bendi ya msondo ngoma Sady Ally akiwajibika wakati wa bonanza la kila jumamosi katika viwanja vya sigara.(Picha na www.burudan.blogspot.com

No comments:

 
 
Blogger Templates