Habari zenu wadau wangu mwakilishi wenu kesho panapo mjaliwa yake Allah nitakuwepo katika mchakato wa moja mbili za kuhusu muziki wote yaani namaanisha muziki wa miondoko yote wa ndani na nje katika ukanda wa Afrika Mashariki hivyo kama ilivyo kawaida ya Blog ya Bongoweekend , katika weekend hii itakuletea yatakayojiri huko nitakakokwenda wapi tutajua hiyo kesho. Nawapenda wote hasa wale wanaosukutua vinywa vyao na Super Glue, kwangu mimi wala hamnipi homa na kwetu sigombwi na vineno vya hovyohovyo wala havinistui mtima Zigo zito mpe Mnyamwezi abebe au siyo Alamsiki.
CRDB Yaongeza Ushirikiano na Majeshi Kupitia Mkutano wa Kimataifa
-
MONACO - Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuunga mkono
maendeleo ya Taifa kupitia sekta mbalimbali kwa kushiriki katika Mkutano
Mkuu...
1 hour ago
0 Comments