Habari zenu wadau wangu mwakilishi wenu kesho panapo mjaliwa yake Allah nitakuwepo katika mchakato wa moja mbili za kuhusu muziki wote yaani namaanisha muziki wa miondoko yote wa ndani na nje katika ukanda wa Afrika Mashariki hivyo kama ilivyo kawaida ya Blog ya Bongoweekend , katika weekend hii itakuletea yatakayojiri huko nitakakokwenda wapi tutajua hiyo kesho. Nawapenda wote hasa wale wanaosukutua vinywa vyao na Super Glue, kwangu mimi wala hamnipi homa na kwetu sigombwi na vineno vya hovyohovyo wala havinistui mtima Zigo zito mpe Mnyamwezi abebe au siyo Alamsiki.
Bi.Fauzia Malik na Bi.Angelic wateuliwa Bodi ya Wakurugenzi Equity Bank
Tanzania
-
Equity Bank Tanzania imewateua Bi. Malik na Bi. Tarimo kwenye Bodi ya
wakurugenzi na inatarajia kufaidika na ujuzi wao mkubwa huku Benki
ikiendelea kuimari...
1 hour ago
0 Comments