Beatrice emanuel kantimbo,mkazi wa kwembe ,kata ya Kibamba,dar es salaam maarufu kama MC Kimbaumbau anaomba msaada wa fedha akatibiwe mguu wake nchini India ambao una miaka 12 toka augue.kwa mawasiliano zaidi na yeye mpigie au mtumie pesa kwa tigo pesa ama M-pesa nambari 0716 850 350 au 0767 850 351
WASHIRIKI ZAIDI YA 1000 KUSHIRIKI KONGAMANO LA WAFAWIDHI JIJINI ARUSHA
-
NA Vero Ignatus,Arusha
CHAMA cha wafawidhi wa matukio nchini Tanzania (KISIMA CHA MAFANIKIO )
wameandaa kongamano la kuongeza uelewa na maarifa kuhusu ta...
3 hours ago
0 Comments