Beatrice emanuel kantimbo,mkazi wa kwembe ,kata ya Kibamba,dar es salaam maarufu kama MC Kimbaumbau anaomba msaada wa fedha akatibiwe mguu wake nchini India ambao una miaka 12 toka augue.kwa mawasiliano zaidi na yeye mpigie au mtumie pesa kwa tigo pesa ama M-pesa nambari 0716 850 350 au 0767 850 351
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
4 hours ago
0 Comments