Rais Jakaya Kikwete,akiteta jambo na ndugu wa marehemu Jeremiah Sumari , ambaye alikuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki (CCM) alipokwenda kuwafariji jana kutokana na msiba huo ,(Kulia) ni Spika wa Bunge , Anne Makinda na Waziri Mkuu Msataafu ambaye pia ni Mbunge wa Monduli ,Edward Lowassa.
Rais Dk Hussein Mwinyi mgeni rasmi Ufunguzi wa Uwanja wa Gombani
-
Wilaya ya ChakeChake Pemba 13.01.2026.
Ujenzi na Ukarabati wa Viwanja mbalimbali vya Michezo ni miongoni mwa
juhudi zinazochukuliwa na Serikali katik...
7 hours ago
0 Comments