Rais Jakaya Kikwete,akiteta jambo na ndugu wa marehemu Jeremiah Sumari , ambaye alikuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki (CCM) alipokwenda kuwafariji jana kutokana na msiba huo ,(Kulia) ni Spika wa Bunge , Anne Makinda na Waziri Mkuu Msataafu ambaye pia ni Mbunge wa Monduli ,Edward Lowassa.
NYAYO ZA LAETOLI FURSA YA VIWANDA VYA VIATU DUNIANI KUTENGENEZA VIATU VYA
KIHISTORIA
-
Kuna methali isemayo “Asiyejua maana haambiwi maana “ lakini Ngorongoro leo
itakuambia maana ya Nyayo za Laetoli.
Nyayo hizi ni za kihistoria na ni se...
29 minutes ago
0 Comments