Rais Jakaya Kikwete leo amekutana na ujumbe a uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) Ikulu jijini Dar es salaam na kuzungumza nao juu ya sheria ya kuanza mchakato wa kutafuta katiba mpya. Ujumbe huo umeongozwa na Makama Mwenyekiti wa CUF Mh Machano Khamis Ally (Picha na Ikuli)
TANZANIA NA LIBERIA ZASAINI MAKUBALIANO YA KIHISTORIA KUIMARISHA UCHUMI WA
BLUU AFRIKA
-
Mkurugenzi Mkuu wa TASAC Mohamed Salum (kushoto)akimpa zawadi Mwakilishi
wa Kudumu wa Liberia katika IMO, Balozi Wilmot Kpadeh mara baada ya
kusain...
41 minutes ago



0 Comments