Rais Jakaya Kikwete leo amekutana na ujumbe a uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) Ikulu jijini Dar es salaam na kuzungumza nao juu ya sheria ya kuanza mchakato wa kutafuta katiba mpya. Ujumbe huo umeongozwa na Makama Mwenyekiti wa CUF Mh Machano Khamis Ally (Picha na Ikuli)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA PERSEUS MINING LIMITED NA
SOTTA MININING CORPORATION LIMITED, IKULU CHAMWINO, MKOANI DODOMA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, akiwa kwenye picha na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde, pamoja
na Mw...
5 hours ago



0 Comments