Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania wakishiriki katika mchezo wa kuvuta kamba katika bonanza la familia la wafanyakazi wa benki hiyo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Kunduchi Dar es Salaam.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
8 hours ago
0 Comments