MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini Z. Anton anatarajiwa kuwaburudisha mashabiki wake wa mji wa Kibaha mkoani Pwani katika shamrashamra za sikukuu ya Idd el Fitr.Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jijini Dar es Salaam jana, Z. Anton alisema kuwa, onyesho hilo litafanyika kwenye ukumbi wa Masai Park siku ya Idd mosi.Alisema kwamba onyesho hilo limeandaliwa na Kampuni ya Daz
Entertainment na kwamba yeye kwa upande wake, amejiandaa kutoa burudani ya hali ya juu kwa wote watakaojitokeza kuhudhuriaOnyesho hilo.Alisema kuwa kiingilio katika onyesho hilo kitakuwa sh. 4,000, kwa kila mtu na akawaomba mashabiki na wapenzi wote wa burudani wa mji wa Kibaha na vitongoji vyake kujitokeza kwawingi siku hiyo.
Waziri wa Fedha akutana na kufanya mazungumzo na Kitengo cha Kudhibiti
Fedha Haramu (FIU)
-
Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis
Mussa Omar (Mb), akiongoza kikao kazi cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa
majuku...
4 hours ago

0 Comments