BENDI ya muziki wa dani ya Mapacha Watatu wanatarajiwa kutoa burudani ya aina yake siku ya Idd pili kwenye ukumbi wa Contena Maili Moja Kibaha Mkoani Pwani.
Aidha ifikapo Septemba 2 katika ukumbi wa HillTech Ukonga Banana.Kwa mujibu wa Mratibu wa onyesho hilo Sauda Mwilima alisema kuwa bendi hiyo itatambulisha nyimbo zake tatu ambazo ni ‘Usia wa Babu’, ‘Wivu’, ‘Sumu ya Mapenzi Remix na Mtoto ‘Mtoto wa Paka’.Sauda aliongeza kwa kusema kuwa katika onyesho hilo watatambulisha waimbaji wake wapya waliojiunga na bendi hiyo ambao ni Januari na Kambi.Bendi ya Mapacha watatu imeasisiwa na wasanii watatu ambao ni Kalala Hamza Kalala ‘Kalala Junior’ , Khalid Chuma ‘Chokoraa’ na Jose Mara.
TANZANIA NA MAREKANI KUIMARISHA MAHUSIANO KWENYE SEKTA YA AFYA
-
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Mei 14, 2026 amekutana na Kaimu
Balozi wa Marekani Nchini Andrew Lentz na kufanya majadiliano kuhusu
Mkataba ...
7 hours ago
0 Comments