Social Icons

Friday, July 8, 2011

WADAU WA BLOG HII NAKWENDA MBEYA LEO

Wapendwa wadau ndiyo tunnaondoka kwenda Jijini Mbeya ikiwa ni katika muendelezo wa Msimu wa dhahabu Golden Moment na Serengeti Fiesta 2011.Tamasha limepangwa kufanyika kwenye uwanja wa Sokoine.

2 comments:

Anonymous said...

Du! Mupenzi Khadija umependeza wewee! Safari njema ninakutakia.

Anonymous said...

Kwa asubuhi hii umependeza sana hapa iringa hope ukifika mbeya utakuwa zaidiii

 
 
Blogger Templates