DA' MARIAM NA EDDY WAWA KITU KIMOJA

 Bi Susan Balterzary kwa sasa akifahamika kwa jina la Mariam (Da'Suzy)  akiwa na mumewe  Eddy mara baada  ya kufunga ndoa yao Jijini Tanga hivi karibuni.
Nakupendaa Wewe eweee ni Mariam na Eddy.Bongoweekend inawatakia maisha mema katika ndoa yako.

Post a Comment

0 Comments