ONYESHO MAALUM YA KINADADA WENYE UMBO LA KIAFRIKA



Post a Comment

3 Comments

Anonymous said…
Jamani Tanzania nako kumezidi mashindano kila kukicha,sasa haya tena ni mashindano ya nini ??Je yanafundisha nini jamii yetu,Juzi tu mtanzania mwenzetu ametoka kutuaibisha Sauz,haijapita hata wiki tena mashindano ya ajabu,nadhani hii yote ni sisi watanzania kukosa kazi za kufanya,na pia tusipoangalia njaa zetu zitatupeleka pabaya.Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ambayo hata namna ya kuyatatua haaijajulikana.watu wamejisaahau katika starehe na mashindano ya ajabu kila kukicha,kwa staili hii umaskini,magonjwa nk.havikwisha Tanzania.
Mdau New York City,Usa.
Anonymous said…
Sawa kabisa mdau hapo juu hata mimi nakusapoti,Mambo mengi hususan mashindano ya ajabu ajabu hapa Tanzania huwa,ni mambo yasiyokubalika na jamii yetu maana
huwafundisha watoto wetu mambo mabaya wanapokuwa,pia mambo mengine ni kumdhalilisha mwanamke,Tunakoelekea sasa ni mwanamke wa kitanzania kukosa thamani,Siku hizi kuna mitandao ambayo jambo lolote likifanyika ni dunia nzima inaona.Aibu iliyosababishwa na Bhoke Afrika ya kusini imekuwa gumzo dunia nzima,sasa tena watu wamebuni mashindano haya ya mwanamke mwenye umbo la kiafrika !! Jamani tuwe waangalifu tunadhalilika sana ndani na nje ya nchi,hasa mwanamke mtanzania kwa kujirahisisha ili kuganga njaa,sijui umoja wa wanawake unafanya kazi gani kwa kutojali mambo machafu ya aina hii yakiendelea kila kukicha?na hasa Tanzania ?Mwenyezi mungu tuepushe na mabalaa haya wanawake wa Tanzania.
Jamila Halfani.
London,Uk.
Anonymous said…
Khadija na wewe utashiriki? maana na wewe umooo ha ha ha ha ha ha