Wadau wangu wa Blogu hii ya Bongoweekend nawaaga niko safarini mwanza Inshaallah tutaonana mungu akipenda na panapo majaaliwa yake .Ijumaa njema na weekend tulivu.
KIHONGOSI AFANYA KIKAO KAZI NA VIONGOZI,WASANII BENDI YA TOT
-
Na Mwandishi Wetu
KATIBU wa Halmashauri Kuu(NEC)ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi
na Mafunzo Kenan Kihongosi amefanya kikao kazi na viongozi m...
10 hours ago
1 Comments
wananiita lukwangule