Mdau John Bukuku kulia na mimi nikiwa katika picha mara baada ya kupewa filamu ya bure ya DADA WA MPIRA tukiwa na Nisha Ligon ambaye ni Director/ Producer wa filamu ambaye yuko nchini hivi sasa tulikutana naye katika viwanja vya Shirikisho la Soka TFF ndipo akatusalimu na mara tukaona tunagaiwa filamu hii tulipomuuliza anauza bei gani akasema hiyo ni zawadi yenu.Unaweza kuona mambo mengi mazuri ya Nisha kwa kupitia Email yake nisha.ligon@gmail.com pia katika Website yake www.nishaligon .com, www.twigastars.com
Mkutano Mkuu wa Kilimo Ikolojia Hai kufanyika Machi mwaka huu
-
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Kilimo Hai Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo (TOAM)
linaratarajia kufanya Mkutano MKuu wa Nne Machi 3hadi Machi 5 ...
1 hour ago
0 Comments