Matron wa Kimwana wa twanga Pepeta 2011 Husna Idd "Sajent.Baada ya utambulisho, itafuatiwa na Nusu Fainali itakayofanyika ijumaa tarehe 27-05-2011 katika Club San Siro na kumalizia katika fainali ijumaa ya tarehe 03-06-2011 inayotarajiwa kufanyika katika ama kumbi ya Mlimani City na Ubungo Plaza kutegemea na upatikanaji wake.
GGML YAZINDUA TAMASHA LA MICHEZO KUIMARISHA UTENDAJI KAZINI
-
KAMPUNI ya Uchimbaji wa Madini ya Dhahabu ya Geita (GGML) imetambulisha
tamasha la michezo kwa watumishi litakalofanyika kila baada ya miezi mitatu
ili ...
11 minutes ago


0 Comments