Kiongozi wa bendi ya Jahazi Modern Taarab Mzee Yusuf anatarajiwa kuonekana tena Jukwaani katika sikukuu ya Valentines Day ambapo yeye na kundi lake watashusha raha kwenye ukumbi wa Traverntine Magomeni Mikumi Jijini Dar es Salaam.Aidha siku hiyo Mzee anatarajiwa kutambulisha wimbo wake mpya ambao aliutunga wakati akijiuguza maradhi ya mguu utakaokwenda kwa jina la 'Bado Nipo Nipo Kufa Mipango ya Mungu' wimbo huo ameutunga baada ya kuzushiwa kifo ilhali jamaa akiwa mzima katika mapumziko ya ugonjwa nyumbani kwao Michenzani Zanzibar.
WAZIRI NANAUKA -SERIKALI ITAENDELEA KUVIPA KIPAUMBELE VIKUNDI
VINAVYOREJESHA MIKOPO
-
Na Oscar Assenga,Muheza, Tanga
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana, Joel
Nanauka amesema serikali itaendelea kuvipa kipaumbe...
1 hour ago
0 Comments