Kiongozi wa bendi ya Jahazi Modern Taarab Mzee Yusuf anatarajiwa kuonekana tena Jukwaani katika sikukuu ya Valentines Day ambapo yeye na kundi lake watashusha raha kwenye ukumbi wa Traverntine Magomeni Mikumi Jijini Dar es Salaam.Aidha siku hiyo Mzee anatarajiwa kutambulisha wimbo wake mpya ambao aliutunga wakati akijiuguza maradhi ya mguu utakaokwenda kwa jina la 'Bado Nipo Nipo Kufa Mipango ya Mungu' wimbo huo ameutunga baada ya kuzushiwa kifo ilhali jamaa akiwa mzima katika mapumziko ya ugonjwa nyumbani kwao Michenzani Zanzibar.
SERIKALI YAIPONGEZA GGML KWA MCHANGO WAKE WA MIAKA 25 KATIKA SEKTA YA
MADINI NCHINI TANZANIA
-
Mheshimiwa Dkt. Steven L. Kiruswa, Naibu Waziri wa Madini, akipokea kitabu
cha kumbukumbu (legacy book) kilichoandaliwa kuadhimisha miaka 25 ya Geita
Gold...
2 hours ago
0 Comments