Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM) Profesa Rwekaza Mukandala(katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam juu harambe ya uchangishaji wa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha wanafunzi cha CKD itakayofanyika Ikulu jijini Dar es alaam. Mgeni rasmi katika harambe hiyo itakayofanyika Alhamis tarehe 20.1.2011 ni Rais Jakaya Mrisho Kikwete.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO- Dar es salaam.
TEA YAANZA UTEKELEZAJI MIRADI YA AMALI ZANZIBAR
-
Unguja
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imeanza rasmi utekelezaji wa miradi ya
amali kwa upande wa Zanzibar, ambapo shilingi bilioni 3.2 zimetengwa kwa
aji...
TEA YAANZA UTEKELEZAJI MIRADI YA AMALI ZANZIBAR
-
Unguja
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imeanza rasmi utekelezaji wa miradi ya
amali kwa upande wa Zanzibar, ambapo shilingi bilioni 3.2 zimetengwa kwa
aji...
Cara Terbaik Untuk Menang Judi Sicbo Online
-
Bergabung dalam permainan judi sicbo online yang dapat dimainkan melalui
smartphone, maka tentu saja para pemain bisa melakukan sejumlah taruhan
dengan nya...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments