Peter Msechu ambaye ni mshindi wa pili katika shindano la vipaji la Tusker Project Fame 2010 Jumapili Januari 2 anatarajiwa kutoa burudani Club Bilicanas ndani ya Bongo Stars Nite imefahamika.Kiingilio ni sh. 5,000kwa habari zaidi tembelea www.bilicanasgroup.com
Rais Samia: Mahakama Huru ni Nguzo ya Utawala Bora na Maendeleo ya Taifa.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amesema hakuna taifa linaloweza kufikia maendeleo endelevu na ustawi wa
wananchi w...
1 hour ago
0 Comments