Waziri wa Mambo ya nje wa Zambia Kabinga J. Pande ambaye pia ndiye kiongozi wa timu ya Waangalizi kutoka SADC akiongea na waangalizi mbalimbali kutoka jumuiya hiyo wakati alipotoa ripoti ya awali ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Jamhuri ya Muunganjo ya Tanzania uliofanyika jumapili iliyopita nchini Kote. Bw Kabinga amesema uchaguzi huo pamoja na mambo mengine uchaguzi huo ulikuwa huru na haki na amepongeza wadau wote waliohusika na uchaguzi huo kwa ujumala mwake (Picha Habari na John Bukuku).
Kamati ya bunge yahimiza kasi maboresho bandari ya Tanga
-
📍Yasifu uwekezaji wa shilingi bilioni 429
NA MASHAKA MHANDO, Tanga
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiashauri Serikali kuongeza kasi
ya utat...
27 minutes ago
0 Comments