Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeunda kambi ya Upinzani Bungeni na kumteua mbunge wa Hai Freeman Mbowe kuwa mkuu wa Kambi hiyo .Hata hivyo vyama vingine vyenye wabunge pamoja na Chama cha wananchi CUF vimekataa kuungana na CHADEMA na kubainisha kuwa vinaunda kambi yao.
JAB YASISITIZA UTEKELEZAJI WA SHERIA KATIKA VYOMBO VYA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
19 minutes ago
0 Comments