
Nyota Waziri kama kawaida alifunika na wimbo wa 'Gere' Hapa ni Warumba Cheee.

Hakika tumefurahi na mashabiki wetu wamekonga nyoyo zao tulianza matayarisho saa nne asubuhi onyesho lilianza saa mbili usiku na kuisha saa nane usiku, kuna wapenzi wengi wa Njenje Muscat, Kiswahili utadhani uko Kariakoo.((Habari na Picha kwa hisani ya John Kitime).
0 Comments