

Mkurugenzi wa Kampuni ya ASET, inayomiliki bendi ya Twanga Pepeta Asha Baraka akinadi CD ya Mapacha3.

Anko Deo hakubaki nyuma alinyanyuka kwenye kiti na kuwatunza waimbaji, wacheza shoo na wapiga vyombo

Mapedeshee wanaopenda kumwaga mijihela kama kawa hapa naye alimwaga za kwake bila hesabu.

Aliyekuwa Msema Chochote MC Ben Kinyaiya hapa akiendesha Jahazi la Uzinduzi huo.

Mzee Yussuph alishindwa kujizuia kwa mlimbwende huyu akaanza kukamua naye taratiibu.

Mzee Yusuph akiimba sambamba na kundi hilo la Mapacha 3 wimbo waliomshirikisha wa Ushikapo Shikamana

Kama Kawaida yake Mfalme akitoa ghani zenye mguso katika Kibao cha Ushikapo na kusisitiza ushikacho ndicho chako na siyo cha mwenzako.
0 Comments