Baadhi ya wakazi wa Kawe kituo cha Tanganyika Packers wakihakiki majina yao kwenye orodha ya majina ya wapiga kura iliyotolewa na Tume ya uchaguzi hivi karibuni,Baadhi ya wakazi wa Kawe waliojiandikisha kwenye kituo hicho wamelalamika kwa kutokuyaona majina yao kwenye orodha hiyo na kwamba hawajui la kufanya na kwanini tatizo hilo limetokea dakika za mwisho,kwani siku za uchaguzi ndio zinaelekea ukingoni. (Picha na www.jiachie.blogspot).
Waziri wa Fedha aongoza Kikao kati ya Serikali na Shirika la Fedha la
Kimataifa (IMF), kwa njia ya mtandao
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameongoza Kikao kati
ya Serikali na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kwa njia ya mtandao,
akiw...
6 hours ago
0 Comments