Na Mwandishi wetu, Arusha.
Baadhi ya wateja wanaopata huduma mbalimbali ikiwemo za utalii wamejumuika na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro katika kuhitimisha maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja.
Wakiongozwa na maafisa mbalimbali wa Mamlaka hiyo wadau mbalimbali waliotembelea ofisi za Maelezo (Information Centre) katika Jengo la Ngorongoro Arusha wameipongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwa kupokea ushauri kuhusu uboreshaji wa miundombinu ya utalii na kuufanyia kazi.




0 Comments