Dkt. Jane Goodall enzi za uhai wake akiwa na kundi la vijana wanafunzi alioshirikiana nao kuanzisha Roots and Shoots jijini Dar es Salaam. Baadhi ya vijana hao walikuwa wanafunzi wanne wa Shule ya Sekondari Tambaza: Balozi Mobhare Matinyi (wa tatu kutoka kulia waliosimama), Dkt. Jan Masesa (wa nne kutoka kushoto waliosimama), Marehemu Jackson Mwandiki (wa pili kulia waliosimama) na Lazaro Swai (wa kwanza kulia waliosimama). Hii ilikuwa nyumbani kwake Msasani, jirani na kwa Mwalimu mnamo mwaka 1991 wakati akisherehekea miaka ya 30 ya utafiti mrefu zaidi duniani wa bila kukatisha wa wanyama. Mama huyu Mwingereza Jane alikuwa ametafiti wanyama aina ya sokwe mkoani Kigoma katika hifadhi ya Gombe. Leo dunia inaomboleza kifo chake kilichotokea tarehe 1 Oktoba, 2025, huko California, Marekani.
𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗠𝗨𝗔𝗣𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗔𝗠𝗕𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔
𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗬𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂
𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akimuapisha Mhe. 𝗣𝗮𝘁𝗿𝗼𝗯𝗮𝘀 𝗞𝗮𝘁𝗮𝗺𝗯𝗶 wa Mambo ya
Ndani...
13 minutes ago


0 Comments