Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameungana na Viongozi, Waumini pamoja na Wananchi mbalimbali katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Francisko wa Asizi, Mwanjelwa Mkoani Mbeya leo tarehe 14 Oktoba 2025. Ibada hiyo imeongozwa na Akofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Mbeya Mhashamu Gervas Nyaisonga.
Tanzania Yajinadi Uimarishaji wa Usawa wa Kijinsia na Upatikanaji wa Haki
kwa Wanawake Mkutano wa CSW 70.
-
Na WMJJWM New York Marekani
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza mshikamano wake na
nchi wanachama wa jumuiya ya kimataifa katika kue...
34 minutes ago






0 Comments