Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (katikati aliyekunja mikono), akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wapya wa Tanzania waliokuja kusoma shahada za uzamili katika fani mbalimbali nchini Sweden katika muhula wa mwaka 2025/26. Kushoto kabisa ni maafisa watano wa Ubalozi wa Tanzania. Balozi Matinyi aliwaandalia wanafunzi hao hafla fupi katika makazi yake jijini Stockholm leo Jumapili tarehe 21 Septemba, 2025, ili kuwaeleza umuhimu wa kutumia maarifa na fursa waliopata kwa faida ya taifa (Picha kwa hisani ya Ubalozi).
Tume ya Maendeleo ya Ushirika TCDC Yapongezwa kwa Utendaji Bora
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) imepongezwa kwa jitihada zake za
kipekee katika usimamizi wa vyama vya ushirika, huku balozi D...
1 hour ago

0 Comments