Baadhi ya Watumishi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wakiwa nje ya geti la kuingia katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, Agosti 25, 2025 ikiwa ni ziara ya kutembelea Hifadhi hiyo na Kuunga juhudi za Utalii wa ndani.
Wizara ya Katiba na Sheria Yatangaza Mikakati ya Kukuza Haki na Sheria kwa
Mwaka wa Fedha 2026/2027
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Katika hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha
2026/2027, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt....
3 hours ago


0 Comments