Baadhi ya Watumishi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wakiwa nje ya geti la kuingia katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, Agosti 25, 2025 ikiwa ni ziara ya kutembelea Hifadhi hiyo na Kuunga juhudi za Utalii wa ndani.
WAKAZI WA MAJENGO NA AMANI MBEZI KWA MSUGULI WAILALAMIKIA DAWASA KWA KUKOSA
HUDUMA YA MAJI KWA MUDA MREFU
-
*Wakazi wa Majengo na Amani Mbezi kwa Msuguli wakiwa wamepanga foleni
kuchota maji kwa mmoja ya mwananchi wa mtaa wa pili.*
*Dar es Salaam Januari 6, 2025:...
4 hours ago


0 Comments