Baadhi ya Watumishi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wakiwa nje ya geti la kuingia katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, Agosti 25, 2025 ikiwa ni ziara ya kutembelea Hifadhi hiyo na Kuunga juhudi za Utalii wa ndani.
POLISI PWANI YAJIVUNIA MAFANIKIO YA OPERESHENI NA MISAKO
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia
Septemba hadi Novemba 2025 ambapo wamefanya misako ya kuzuia na
kutanzua ...
7 hours ago


0 Comments