Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru (kulia) akizungumza na viongozi mbalimbali wakati wa kikao cha Wenyeviti wa Bodi na wakuu wa Taasisi kinachofanyika katika ukumbi wa AICC Jijini Arusha kuanzia tarehe 23-25 Agosti, 2025.
RAIS DKT MWINYI: SMZ KUIMARISHA USAFIRI NA USAFIRISHAJI WA MIZIGO PEMBA
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amesema Serikali imejipanga kikamilifu kumaliza tatizo la
usaf...
1 hour ago





0 Comments