Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru (kulia) akizungumza na viongozi mbalimbali wakati wa kikao cha Wenyeviti wa Bodi na wakuu wa Taasisi kinachofanyika katika ukumbi wa AICC Jijini Arusha kuanzia tarehe 23-25 Agosti, 2025.
DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA
UCHUMI WA TAIFA
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza
hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.
Mkurugenzi wa K...
3 hours ago





0 Comments