Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru (kulia) akizungumza na viongozi mbalimbali wakati wa kikao cha Wenyeviti wa Bodi na wakuu wa Taasisi kinachofanyika katika ukumbi wa AICC Jijini Arusha kuanzia tarehe 23-25 Agosti, 2025.
Tanzania yahimiza Matumizi ya AI Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC
-
JAMHURI ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde
(Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa
katika k...
1 hour ago





0 Comments