ASHA BARAKA ATOA NENO LA SHUKRANI KWA H/KUU CCM

Asha Baraka ametoa  shukrani  zake za dhati  kwa Kamati  ya Halmashauri Kuu Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kumteua  kuwa mmoja  wa wagombea Ubunge kwa kupitia  makundi maalum NGO.Jina la Asha Baraka ni miongoni mwa majina ya wagombea waliopita kugombea Ubunge  na CPA Amos Makala alipozungumza  na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma leo tarehe 29 Julai 2025.

Post a Comment

0 Comments